Blog

Maboresho ya miundombinu yaipaisha Bandari ya Mtwara

Na Daniel Mbega, Mtwara MIAKA saba iliyopita Bandari ya Mtwara haikuwa na shughuli nyingi za kiuchumi…

Bandari Mtwara yatekeleza kwa vitendo maagizo ya Rais Samia

Na Daniel Mbega, Mtwara BANDARI ya Mtwara imekwishasafirisha takriban tani 230,000 za shehena ya korosho ghafi…

TAHOA yakabidhi vifaa vya 47m/- waathirika wa Hanang’

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam JUMUIYA ya Kampuni za Uwindaji wa Kitalii Tanzania (Tanzania Hunting…

R4 za Samia zaleta neema

*Aonesha ujasiri, utashi wa kisiasa Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam RAIS Dkt. Samia Suluhu Hassan…

Awamu ya Samia ni ya maendeleo vijijini

Na Samson Sombi BAADA ya kupata Uhuru wa nchi yetu mwaka 1961, Mwalimu Julius Nyerere alitangaza…

Mvua kubwa kunyesha mikoa 12

Na Salha Mohamed, Dar es Salaam MAMLAKA ya Hali ya Hewa (TMA), imetoa angalizo ya mvua…

Biteko: Samia ni mfano wa kuigwa

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko,…

Samia atengua uteuzi Kamishna wa Petroli, Gesi

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam RAIS Dkt. Samia Suluhu Hassan ametengua uteuzi wa Kamishna wa…

Arusha Chini wapongeza juhudi za TPC kutekeleza miradi ya jamii

Na Kija Elias, Kilimanjaro WANANCHI wa Kata ya Arusha Chini, Wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro, wamefurahia…

Dunia yaungana kusitisha matumizi ya petroli, dizeli

Na Mwandishi Maalum, Dubai WAWAKILISHI kutoka karibu nchi 200 jana Jumatano, Desemba 13, 2023 walikubaliana katika…

Uagizaji mafuta kwa pamoja waokoa trilioni 1/- kila mwaka

Na Daniel Mbega, Dar es Salaam MFUMO wa Uagizaji wa Mafuta kwa Pamoja (Bulk Procurement System)…

Ujenzi wa vyoo bora, upatikanaji maji shuleni wapunguza utoro Mahumbika

Na Mwandishi Wetu, Lindi UJENZI wa vyoo bora na upatikanaji wa maji ya uhakika katika Shule…

Jafo akabidhi tuzo wafugaji wanawake Watanzania COP28

Na Robert Hokororo, Dubai WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Dkt.…

Ewura yaeleza sababu kushuka bei ya mafuta

Na Salha Mohamed, Dar es Salaam MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA)…

GCLA yajivunia miaka miwili ya Rais Samia

Na Daniel Mbega, Dar es Salaam MAMLAKA ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali (GCLA) imeupongeza…

Kujiuzulu kwa katibu mkuu CCM kunatoa taswira gani?

Na Rashid Abdallah BBC Swahili Baada ya uvumi wa hapa na pale, hatimaye jioni ya Jumatano,…

Chongolo ajiuzulu Ukatibu Mkuu CCM

Na Eckland Mwaffisi, Dar es Salaam KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Daniel Chongolo, ameandika…

Mji wa Moshi watimiza miaka 112

Na Jabir Johnson, Kilimanjaro MOSHI ni miongoni mwa miji mikongwe nchini Tanzania. Historia inaonyesha kwamba ulianzishwa…

Maboresho ya Sera kusaidia Serikali ukusanyaji wa kodi

Na Daniel Mbega MWAKA 2022 Rais Samia Suluhu Hassan aliielekeza Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kujenga…

Tanzania na Uholanzi zatiliana saini mkataba wa msaada wa kuendeleza Bonde la Msimbazi

Na Benny Mwaipaja, Dar es Salaam UHOLANZI, kupitia Shirika lake la Invest International, imeipatia Tanzania, msaada…

Samia atoa Shs. bilioni 9 kusomesha wataalamu bingwa bobezi wa afya 601

Na Mwandishi Wetu Serikali ya Awamu ya Sita chini ya uongozi wa Rais Dkt. Samia Suluhu…

Mchechu aeleza mapinduzi Sheria Uwekezaji wa Umma

Na Eckland Mwaffisi, Dar es SalaamMSAJILI wa Hazina, Nehemiah Mchechu, amesema Muswada wa Sheria ya Mamlaka…

Samia ataka sheria, sera zipitiwe upya

*Ni zile zilizopitwa na wakati, asema… *Aipongeza TAMWA kwa utendaji kazi Na Salha Mohamed, Dar es…

Mkurugenzi wa Uvuvi atumbuliwa

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam WAZIRI wa Mifugo na Uvuvi, Abdallah Ulega, ameelekeza kuondolewa katika…

Serikali kupanua wigo Uwekezaji wa Umma kupitia Sheria pendekezwa

Na Daniel Mbega, Dar es Salaam MAPATO ya Serikali yanaweza kuongezeka zaidi ikiwa Sheri mpya ya…

Tanzania kuwa kivutio cha Tiba Utalii

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam WAZIRI wa Afya, Ummy Mwalimu amesema Tanzania inakwenda kuwa kitovu…

China yavutiwa na uongozi wa Samia

Na Salha Mohamed, Dar es Salaam CHAMA cha Kikomunisti cha China (CPC), kimempongeza Rais Dkt. Samia…

Mafuriko yaua watu 8 Tanga, wapo watoto 3

Na Mwandishi Wetu, Tanga MVUA zinazoendelea kunyesha mkoani Tanga zimesababisha vifo vya watu wanane. Miongoni mwa…

Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora kuchunguza tuhuma za Gekul

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam TUME ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) imekusudia…

Andropause: Kwa nini ukomo wa uzazi kwa wanaume hautambuliwi kimatibabu?

Na André Biernath BBC MAUMBILE ya kibaiolojia ya wanaume na wanawake huwa hayana mfumo unaofanana kila…

Wanawake hutoa mimba kwenye kliniki zisizo rasmi kukwepa sheria

UTATA wa kisheria kuhusu utoaji mimba nchini Kenya unasukuma maelfu ya wanawake kurejea kwenye kliniki zisizo…

Samia alivyoipiku Benki ya Dunia kwa miaka 75 uuanganishaji umeme nchini

Na Daniel Mbega, Dar es Salaam RAIS Samia Suluhu Hassan ameithibitishia Benki ya Dunia kuwa haikuwa…

Mianzi inaweza kutumika katika ujenzi wa kudumu

Na Suzanne Bearne JENGO la lililoundwa kwa msururu wa safu za mianzi lenye urefu wa mita…

Ufaulu VII waongezeka, 31 wafutiwa matokeo

Na Salha Mohamed, Dar es Salaam KATIBU Mtendaji wa Baraza la Mitihani (NECTA), Dkt. Said Mohamed,…

Samia atoa trilioni 2.39/- miradi ya umeme vijijini

Na Eckland Mwaffisi, Dar es Salaam KATIKA kipindi cha miaka mitatu ya uongozi wa Rais Dkt.…

Bashungwa ‘awasha moto’ kwa vigogo TANROADS

*Amng’oa bosi wa miradi Mhandisi Mkumbo Na Mwandishi Wetu, Tanga WAZIRI wa Ujenzi, Innocent Bashungwa, amesema…

EAC itegemee nini kwa uenyekiti wa Salva Kiir

Na Daniel Mbega, Dar es Salaam LEO Ijumaa, Novemba 24, 2023, wakuu wa nchi wanachama wa…

Mzozo wa mafuta Kenya na Uganda una athari kwa EAC

Na Daniel Mbega, Dar es Salaam MKUTANO wa Wakuu wa Nchi za Jumuiya ya Afrika umemalizika…

Makongamano yasaidia maboresho 57 ya kodi mwaka 2023/24

Na Peter Haule, WF, MwanzaMakongamano ya Kodi yanayofanywa na Wizara ya Fedha kwa kuwashirikisha wadau mbalimbali…

JK anavyoongoza mapambano dhidi ya ugonjwa wa saratani

Na Zuhura Rashidi, Dar es Salaam WAKATI hali ya ugonjwa wa saratani ikizidi kuwa mbaya, Rais…

Vigogo wahofia ‘panga’ la Samia

Na Eckland Mwaffisi, Dar es Salaam UKIMYA wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan juu ya hatua…

Samia na Diplomasia ya Uchumi iliyoakisiwa na ziara ya Rais wa Romania

Na Daniel Mbega, Dar es Salaam “ZIARA ya Rais wa Romania, Mheshimiwa Klaus Iohannis ni ya…

Busara za Samia chachu ya maendeleo Afrika Mshariki

Na Mwandishi Wetu WAKATI wowote linapotajwa jina la Samia Suluhu Hassan, kwa wenye fikra na akili…

Samia aifanya Tanzania sehemu salama kwa uwekezaji kuliko zote Afrika Mashariki

Na Mwandishi Wetu MOJA ya mambo yanayopeperusha vema bendera ya Tanzania katika mtangamano wa Jumuiya ya…

MSD inavyotekeleza azma ya Samia kuboresha huduma za afya nchini

Na Dotto Mwaibale, Singida MAPEMA wiki hii, Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Dkt.…

TPA kujenga matanki yao ya mafuta

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam SERIKALI kupitia Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), inakusudia kujenga matanki…

Mkakati wa Samia kuwawezesha makandarasi wazawa kupewa miradi

Na Mwandishi Wetu, Dodoma RAIS Dkt. Samia Suluhu Hassan, anataka kuona ushiriki mkubwa zaidi wa Makandarasi…

Serikali yatoa vifaa tiba vya mil. 222.472/- Singida

Na Mwandishi Wetu, Singida SERIKALI  ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan…

Zitto atoa ushauri kwa Wizara ya Maliasili

Na Mwandishi Wetu, Kigoma CHAMA cha ACT-Wazalendo kimemshauri Wizara wa Maliasili na Utalii kusikiliza kero ambazo…

ICTC inavyochagiza kasi ya Samia kuifanya Tanzania ya Kidijitali

Na Iddy Mkwama SERIKALI ya Awamu ya Sita, inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan imeonekana dhahiri…

UCSAF yatekeleza maagizo ya Samia

Na Daniel Mbega, Dar es Salaam MFUKO wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF) umetekeleza kwa vitendo agizo…

Biteko atoa agizo zito TPDC

*Ataka mpango upatikanaji gesi asilia *Asisitiza ukaguzi ushuru wa huduma Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…

Samia atoa bil. 56/- za miradi ya maji

Na Mwandishi Wetu, Manyara SERIKALI ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan,…

Samia: Tutaendelea kuhubiri maridhiano

*Asisitiza amani, upendo, umoja wa kitaifa Na Salha Mohamed, Dar es Salaam RAIS Dkt. Samia Suluhu…

Samia aibua hofu upinzani

*Vigogo wahofiwa kuhamia CCM, kisa… *Wengi wakoshwa na kasi ya maendeleo Na Eckland Mwaffisi, Dar es…

TEA yampa kongole Samia ufadhili wa miradi ya elimu

Na Daniel Mbega, Dar es Salaam MAMLAKA ya Elimu Tanzania (TEA), imempongeza Rais Samia Suluhu Hassan…

Huruma ya Rais Samia isiwafanye wazazi wasahau wajibu wa malezi

Na Daniel Mbega, Dar es Salaam IJUMAA, Novemba 17, 2023, Katibu Mkuu wa Umoja wa Wanawake…

Uwekezaji katika Kiwanda cha Sukari TPC wairidhisha Serikali ya Samia

Na Daniel Mbega, Dar es Salaam ALHAMISI, Novemba 16, 2023, Serikali ya Awamu ya Sita chini…

ICTC kujenga vituo 8 vya Tehama nchini

Na Daniel Mbega, Lindi SERIKALI inakusudia kujenga vituo nane (one-stop centres) nchini vya ubunifu wa teknolojia…

Samia alivyofanikiwa kuchochea Uchumi Shindani na Shirikishi

Na Daniel Mbega, Lindi KUCHOCHEA Uchumi Shindani na Shirikishi ni moja ya vipaumbele vikuu vya Serikali…

Tanzania yapokea mkopo wa bil. 32/- kutoka Saudi Arabia

Na Scola Malinga, Riyadh, Saudi Arabia TANZANIA imepokea mkopo wa dola milioni 13 sawa na shilingi…

Gesi ya Tanzania kuuzwa Uganda

Na Salha Mohamed, Dar es Salaam SERIKALI ya Tanzania na Serikali ya Jamhuri ya Uganda zimetia…

Samia avunja Bodi ya TCRA

Na Salha Mohamed, Dar es Salaam RAIS Dkt. Samia Sukuhu Hassan wa Jamhuri ya Muungano wa…

Rais Samia: Tanzania inafaa kwa uwekezaji

Na Salha Mohamed, Dar es Salaam RAIS Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema Tanzania inafaa kwa uwekezaji…

Samia anavyopambania utajiri wa gesi Tanzania

Na Daniel Mbega, Dar es Salaam JITIHADA za Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais…

Tanzania, Korea Kusini kudumisha ushirikiano

Na Salha Mohamed, Dar es Salaam NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Dotto Biteko…

Pura ikisimamia vyema mikataba ya uzalishaji, gesi itainufaisha Tanzania

Na Daniel Mbega, Dar es Salaam TANZANIA iko katika orodha ya nchi 10 barani Afrika zenye…

Bajeti ya 2024/25 ni Shs. trilioni 47

Na Peter Haule, Dodoma SERIKALI inatarajia kukusanya na kutumia jumla ya shilingi trilioni 47.424 katika mwaka…

Kitila: Samia ni kiongozi makini

Na Mwandishi Wetu, Dodoma WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji, Profesa Kitila Mkumbo,…

Tanzania ya 6 Afrika kwa akiba ya gesi asilia

Na Daniel Mbega, Dar es Salaam TANZANIA inashika nafasi ya sita barani Afrika kwa nchi zenye…

Jinsi miradi 17 ya mkakati inavyompaisha Rais Samia

Na Daniel Mbega, Kisarawe JITIHADA za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu…

Samia aiwezesha Pura kuokoa Shs. bilioni 189

Na DanielMbega, Dar es Salaam UONGOZI mahiri wa Rais Samia Suluhu Hassan umeiwezesha Mamlaka ya Udhibiti…

Serikali na mkakati wa kuwaondolea wanawake ‘gaidi wa siri’ aliyeko jikoni

Na Daniel Mbega UNAFAHAMU kwamba mama anayetumia jiko la mkaa anapata madhara makubwa kuliko mtu anayevuta…

Ewura: Tunatekeleza maagizo ya Rais Samia

Na Daniel Mbega, Dar es Salaam MAMLAKA ya Udhibiti wa Nishati na Maji (Ewura) imesema kwa…

Samia: Utalii ni utajiri wa Afrika

*Hotuba yake WTTC yatoa mwelekeo *Asisitiza ushirikishwaji sekta binafsi Na Eckland Mwaffisi, Dar es Salaam RAIS…

Sera mpya Elimu yafuta darasa la 7

*Elimu ya lazima sasa miaka 10 *Ili usomee Ualimu uhitimu VI Na Mwandishi Wetu, Dar es…

Samia ni shujaa diplomasia ya uchumi, tuache ‘ngoma za vita’

Na Daniel Mbega, Kisarawe RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshinda…

Serikali inavyowaandaa wazawa kwa ajira sekta ya gesi na mafuta

Na Daniel Mbega, Dar es Salaam TANZANIA inaweza kunufaika zaidi na sekta ya mafuta na gesi…

Ingependeza Steinmeier akazuru pia Kaburi la Mkwawa na Nyundo

Na Daniel Mbega, Kisarawe LEO Jumatano, Novemba Mosi, 2023, Rais wa Ujerumani Frenk-Walter Steinmeier atatembelea Makumbusho…

TMA: Novemba-Januari kutakuwa na mvua nyingi

Na Salha Mohamed, Dar es Salaam MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), imesema kipindi cha…

Tanzania ya tatu mazingira bora ya uwekezaji Afrika

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji Profesa…

Samia, Steinmeier waandika historia

*Ujerumani yakoshwa na demokrasia*Wafungua fursa ushirikiano kiuchumiNa Salha Mohamed, Dar es SalaamRAIS wa Ujerumani, Frank -Walter…

Mvua kubwa kunyesha siku nne – TMA

Na Salha Mohamed, Dar es Salaam MAMLAKA ya Hali ya Hewa (TMA), imetoa angalizo ya mvua…

Tanzania yashika namba 4 Afrika usalama wa anga

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa, amesema Tanzania inashina nafasi ya nne…

Vigogo UDA warudishwa gerezani

*Kesi yao kutajwa tena Novemba 13 Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam UPELELEZI wa kesi inayomkabili…

Tulia: Siri ushindi IPU ni Rais Samia

*Aeleza jinsi alivyomuunga mkono *Zungu asema Dkt. Tulia alijiongeza Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam SPIKA…

Serikali: Neema inakuja maboresho Sekta ya Kilimo

Na Mwandishi Wetu UWEPO wa chakula cha kutosha ni muhimu kwa maendeleo ya Taifa lolote kwa…

Uwekezaji Bandari Dar ni fursa ya ukuaji wa uchumi

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam UWEKEZAJI katika Bandari ya Dar es Salaam utaiwezesha Mamlaka ya…

Rais Ujerumani kufanya ziara Tanzania

*Itaimarisha biashara, uwekezaji *Kuja na wawekezaji kampuni 12 Na Salha Mohamed, Dar es Salaam RAIS wa…

Wanahabari Dar wampa tuzo Rais Samia

*DCPC yakoshwa na uongozi wake Na Salha Mohamed, Dar es Salaam CHAMA cha Waandishi wa Habari…

Bilioni 44.2/- za Rais Samia kunufaisha wanafunzi 14,428

Na Salha Mohamed, Dar es Salaam BODI ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB) imetoa mkopo…

Tumieni Takwimu za Sensa 2022 – Makinda

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam KAMISHNA wa Sensa nchini, Anne Makinda, amesema kwa sasa ni…

Mchengerwa aitaka TARURA iendeleze Wakandarasi wazawa

Na Sarah Moses, Dodoma WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za…

Samia analeta mapinduzi viwanda vya dawa – Ummy

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam WAZIRI wa Afya, Ummy Mwalimu, amesema Rais Dkt. Samia Suluhu…

Tume yafichua upigaji mamilioni Kigoma Ujiji

Na Mwandishi Wetu, Dodoma WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amepokea taarifa ya uchunguzi wa tuhuma za ubadhirifu…

Samia ‘awakosha’ wabunge Zambia kwa Hotuba ya Viwango

* Siku za usafiri bila viza kuongezwa * Hati sita zasainiwa, ujenzi wa mpaka Na Mwandishi…

CCM Dar kumpokea Makonda leo

Na Salha Mohamed, Dar es Salaam CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), Mkoa wa Dar es Salaam, leo…

Samia asema, Serikali kuwekeza utafiti wa madini

Na Salha Mohamed, Dar es Salaam RAIS Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema Serikali imewekeza kwenye utafiti…

Uwekezaji Bandari na mkakati wa ajira milioni nane za Samia

Na Daniel Mbega, Kisarawe UWEKEZAJI wa kampuni ya DP World ya Dubai kwenye Bandari ya Dar…

‘Watanzania tuyakubali mabadiliko teknolojia duniani’

Na Saidi Salim, Arusha WAKATI maendeleo ya teknolojia yakienda kasi duniani, Watanzania wametakiwa kuondoa hofu juu ya…

Sh. bilioni 9 kutekeleza miradi 7 ya maji Mtwara

Na Mwandishi Wetu, Mtwara SERIKALI imetoa Shs. bilioni 9.8 ili kutekeleza miradi saba ya maji katika Wilaya…

Uamuzi wa kesi ya Mdee na wenzake Desemba 14

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam UAMUZI wa kesi inayowakabili wabunge 19 wa Viti Maalum (CHADEMA)…

Tanzania kushiriki Uchumi Madini ya Bahari – Mavunde

Na Salha Mohamed, Dar es Salaam WAZIRI wa Madini, Anthony Mavunde, amesema Tanzania iko tayari kushiriki…

Rais Samia aipa heshima Zambia

* Awapa zawadi eneo la hekari 20 Kwala * Avunja ukimya maboresho Bandari Dar Na Eckland…

Majaribio ya Bwawa la Nyerere Januari 2024

Na Salha Mohamed, Dar es Salaam NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko…

Mitihani ya kujipima darasa la 4 kuanza leo

Na Salha Mohamed, Dar es Salaam WATAHINIWA 1,692,802 wanatarajia kuanza mitihani ya kujipima kitaifa ya darasa…

Miaka 12 baada ya Ban Ki Moon, Samia ahutubia Bunge la Zambia

Na Daniel Mbega, Dar es Salaam RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu…

Samia atua Zambia kwa ziara ya siku 3

Na Mwandishi Wetu RAIS Samia Suluhu Hassan leo anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika Sherehe za Maadhimisho…

OMR yawasilisha taarifa Kamati ya Bunge Mazingira

Na Mwandishi Wetu, Dodoma NAIBU Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mhe. Khamis…

Samia: Mahakama tumieni teknolojia

Na Salha Mohamed, Dar es Salaam RAIS Dkt. Samia Suluhu Hassan amezitaka Mahakama kutoka nchi 16…

Ziara ya Samia nchini Zambia inaakisi uwekezaji Bandari Dar

Na Daniel Mbega, Dar es Salaam RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu…

Haya ndiyo mambo yaliyozingatiwa mkataba wa uwekezaji Bandari Dar

Na Daniel Mbega, Dar es Salaam HATIMAYE Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jumapili, Oktoba…

Mradi wa Kijana Nahodha wasaidia vijana kujitambua

Na Mwandishi Wetu VIJANA ni nguvu kazi ya taifa na ili izae matunda ni lazima iwe…

‘Ulingo wa Kwae haulindi Manda’, kongole Samia uwekezaji Bandari

Na Daniel Mbega Kisarawe ULINGO wa Kwae haulindi Manda! Naam. Haya ni maneno kuntu ya mamanju…

Tanzania ni miongoni mwa maeneo 3 bora ya uwekezaji

Na Salha Mohamed, Dar es Salaam TANZANIA imetajwa kuwa miongoni mwa nchi 3 zenye mazingira mazuri…

Maboresho Bandari ya Dar yatachochea uchumi wa taifa

Na Daniel Mbega, Dar es Salaam RAISA wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu…

Mkataba Bandari miaka 30

HATIMAYE kimeeleweka. Ndivyo unavyoweza kusema, baada ya Serikali ya Tanzania na Dubai kusaini mikataba mitatu ya…

Mwendokasi wa Samia kupunguza foleni Dar

Na Daniel Mbega TAKRIBAN miaka 20 iliyopita nilikuwa miongoni mwa wahanga wa kugombea daladala na hata…

PPRA yaagizwa kuunganisha mfumo wa GIMIS na NeST

Na Farida Ramadhani, Saidina Msangi, Dodoma WAZIRI wa Fedha, Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, ameielekeza Mamlaka ya…

Wafanyabiashara wapongeza mikataba Bandari kusainiwa

Na Mary Geofrey, Pemba MWENYEKITI wa Jumuiya ya Wafanyabishara Tanzania (JWT), Khamis Livembe, amempongeza Rais Samia…

Khamis atoa maelekezo kwa wachimbaji makaa ya mawe

Na Mwandishi Wetu, Mbinga NAIBU Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Khamis…

Makonda amrithi Mjema Itikadi na Uenezi CCM

Na Salha Mohamed, Dar es Salaam HALMASHAURI Kuu ya Chama cha Mpinduzi (CCM), imemteua Paul Makonda…

‘Niletee mifupa ya mtu aliyekufa ili uwe tajiri’

Na BBC WANAUME watano nchini Nigeria wamehukumiwa kifungo cha miaka 12 jela baada ya kutuhumiwa kwa…

Mgogoro wa Sudan: Mamilioni ya watoto wanakosa kwenda shule

Na Anita Nkonge, Alfatih Wadidi na Priya Sippy BBC MZOZO ulioanza katikati ya mwezi Aprili mwaka…

Mzozo wa Israel na Palestina: Tafsiri za kidini zinatoka wapi?

Na Edison Veiga BBC News Brazil TANGU kuongezeka kwa mizozo kati ya Waisraeli na Wapalestina ,…

Latra yaingiza bil. 89/- ndani ya miaka mitatu

Na Daniel Mbega, Dar es Salaam MAMLAKA ya Udhibiti Usafiri wa Ardhini (Latra) imeonyesha mafanikio makubwa…

Tanzania yaunga mkono China ujenzi miundombinu wezeshi

Na Benny Mwaipaja, Beijing TANZANIA imeunga mkono hatua ya China ya kusisitiza umuhimu wa kutumia njia…

Samia ‘afunika’ Singida, Tabora

Na Salha Mohamed, Dar es Salaam BAADA ya maadhimisho ya Kilele cha mbio za Mwenge wa…

Zifahamu dhana 7 potofu kuhusu ukomo wa hedhi

Na Mashirika ya Habari SIKU ya Ukomo wa Hedhi Duniani huadhimishwa kila mwaka Oktoba 18 kwa…

Samia airejesha ATCL kwenye ndoto za Mwalimu Nyerere

Na Daniel Mbega SHIRIKA la Ndege Tanzania (ATCL) sasa limerejea katika enzi zile za Mwalimu Julius…

Mpango afanya mazungumzo na Balozi wa Japan

Na Mwandishi Wetu, Dodoma MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip…

Rais Samia atoa bil. 4/- ujenzi wa soko Nzega

RAIS Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa Shs. bilioni 4 kwa ajili ya ujenzi wa Soko la…

Samia anavyoutekeleza Mradi wa Ujenzi wa Umoja wa Kitaifa

Na Daniel Mbega, Kisarawe JUMATATU, Agosti 21, 2023, wakati akizungumza kwenye Maadhimisho ya Miaka 60 ya…

Matumizi ya kuni, mkaa mwisho Jan 31

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam SERIKALI imesema katazo la matumizi ya kuni, mkaa linazihusu taasisi…

MSD kugawa vyandarua 709,118 shule zote Dar

Na Eckland Mwaffisi, Dar es Salaam MKOA wa Dar es Salaam umezindua rasmi programu ya kukagawa…

Mbaroni kwa kutupa vichanga mapacha

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam JESHI la Polisi mkoani Morogoro linamshikilia Roda Peter (30) mkulima…

‘CNG ipewe kipaumbele mitambo ya magari nchini’

Na Mwandishi Wetu, Dodoma KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imeishauri Serikali kuweka…

Serikali yahadharisha kutokea kwa Tsunami

Na Salha Mohamed, Dar es Salaam OFISI ya Waziri Mkuu, Idara ya Menejimenti ya Maafa, Kituo…

Samia atoa mil. 10/- kwa kila goli kwa Simba

Na Mwandishi Wetu,Dar es SalaamRAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amechochea ari…

Uwekezaji wa Bandari Dar uharakishwe

Na Daniel Mbega, Dar es Salaam JUNI 13, 2023 Benki ya Dunia iliiweka Bandari ya Dar…

Kikwete afurahishwa na uwezo wa wanawake UDSM

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam MKUU wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Rais…

Rais Samia ni kiongozi wa mfano – Sophia Mjema

Na Mwandishi Wetu, Mtwara RAIS Dkt. Samia Suluhu Hassan ni kiongozi wa mfano Afrika na duniani…

Samia ataka kasi usambazaji maji

*Bil. 24.47/- kutoa maji Ziwa Victoria *Azungumzia neema nishati ya umeme Na Salha Mohamed, Singida RAIS…

FAO kumuunga mkono Samia mikakati ya kilimo

Rome, Italia SHIRIKA la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo (FAO), limeahidi kuunga mkono jitihada…

Serikali yahimiza nguvu uchumi kidigitali kwa wanawake, vijana

Na Mwandishi Wetu, Dar es SalaamKWA kuwa wanawake na vijana ni msingi, chachu ya mabadiliko katika…

Miaka 3 ya Dkt. Mwinyi yaweka historia Zanzibar

Na Mwandishi Wetu, Zanzibar KATIBU wa Kamati Maalum ya NEC, Idara ya Itikadi na Uenezi CCM…

Tanroads inavyojitahidi kuimarisha miundombinu ya barabara Tabora

Na Benny Kingson, Tabora MKOA wa Tabora una mtandao wa barabara wenye jumla ya kilometa 2,188.09…

Wakimuona Rais Samia tu, wanayeyuka kama barafu

Na Daniel Mbega JUMAPILI, Oktoba 15, 2023, Thomas Kongoro, baba mkubwa wa mwanaharakati wa kisiasa na…

Rais Samia kuzindua mradi mkubwa leo, maelfu kumuunga mkono 2025

Na Salha Mohamed, Dar es Salaam RAIS Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo anatarajia kuzindua mradi mkubwa…

Samia alivyokomesha ‘mfumo dume’ kama Amina wa Zazzau

Na Daniel Mbega, Kisarawe JUMATANO, Januari 27, 1960, wakati anazaliwa katika Kijiji cha Kizimkazi, Makunduchi kisiwani…

Baba wa Lissu: Kura yangu kwa Samia 2025

*Achukizwa siasa za chuki, ubaguzi *Afurahishwa na kasi ya maendeleo Na Salha Mohamed, Singida THOMAS Kongoro…

Samia ‘afunguka’ uchaguzi wa 2024

*Utatoa taswira ya Uchaguzi Mkuu 2025 *Avunja ukimya chuki, kugawa wananchi Na Salha Mohamed, Singida RAIS…

Serengeti hifadhi bora Afrika mara 5 mfululizo

Na Mwandishi Wetu, Dar es SalaamHIFADHI ya Taifa ya Serengeti-Tanzania, imeshinda tuzo ya hifadhi bora barani…

Samia kuanza ziara siku 2 Tabora leo

Na Salha Mohamed, Singida RAIS Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo anaanza ziara ya siku mbili mkoani…

Benki ya Maendeleo TIB yatekeleza mipango ya Rais Samia kwa vitendo

Na Daniel Mbega, Dar es Salaam ILANI ya Uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) ya mwaka…

Umati mkubwa wa Samia tishio kwa upinzani 2025

Na Mwandishi Wetu, Singida RAIS Samia Suluhu Hassan ameibuka kuwa tishio kubwa kwa vyama vya upinzani…

Maono ya Samia kwenye mapinduzi ya uchumi kwa maendeleo ya watu

Na Daniel MbegaMIEZI michache baada ya kushika hatamu za uongozi kama Rais wa Jamhuri ya Muungano…

Samia azindua shule 302 za Msingi, Sekondari

*Ni kupitia mradi wa Boost, Sequip *Zimegharimu bil. 230/-, asema… Na Waandishi Wetu, Dar na Singida…

Samia anavyoisimamia falsafa ya ‘Elimu ni Kazi’

Na Daniel Mbega,Kisarawe“VIJANA wetu lazima wapate elimu inayoendana na Afrika. Hii ina maana kwamba, elimu ambayo…

Hotuba ya Nyerere kwa Wazee wa Dar Novemba 5, 1985 baada ya kung’atuka

Na Daniel MbegaMNAMO Novemba 5, 1985, siku tisa tangu kufanyika kwa uchaguzi mkuu (Jumapili Oktoba 27,…

Ujamaa haukushindikana, bali haukuwahi kujaribiwa!

Na Daniel MbegaLEO ni miaka 24 kamili tangu Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, alipofariki…

Samia anavyoimarisha mtandao wa reli kuinua uchumi Tanzania

Na Daniel Mbega,Dar es SalaamJUHUDI za Serikali katika kuimarisha ukusanyaji wa mapato zimeonekana.Ukiacha chungu kikubwa cha…

Samia kama Star India

Ateka mitandao ya kijamii, awapiku wachezaji maarufu Na Mwandishi Wetu,New DelhiZIARA ya Rais Samia nchini India…

Ziara ya India yaleta neema

• Mauzo ya mbaazi kufikia Shs. bilioni 450• Zao la Korosho nalo lapata soko kubwa• Tanzania…

Samia atunukiwa PhD ya heshima India

Na Mwandishi Wetu, New Delhi, India RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu…

Benki ya Dunia yaendelea kuifagilia Tanzania kwa kusimamia uchumi

Na Benny Mwaipaja,MarrakechBENKI ya Dunia imeendelea kuimwagia sifa Tanzania kwa usimamizi mzuri na mageuzi makubwa ya…

Jitihada za Samia zitaifanya CCM iache ‘kutembeza bakuli’

Na Daniel Mbega RAIS Samia Suluhu Hassan yuko kwenye rekodi ya pekee barani Afrika, akiwa kiongozi…

Tanzania, India kukuza uhusiano wa kimkakati

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, akiagana na Waziri Mkuu wa India, Narendra Modi, mara baada…

Ziara ya Rais Samia India kukuza sekta ya afya, maji

Na Daniel Mbega, Dar es Salaam LEO Jumanne, Oktoba 10, 2023, Chuo Kikuu cha Jawaharlal Nehru…

Rais Samia aongoza Kamati Kuu ya CCM leo

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Samia…

Hawa Ndio Marais ‘Wezi’ Duniani

Na Daniel Mbega na Mashirika TAASISI ya Transparency International kupitia Bribe-Payers Index ilieleza kwamba, Mobutu Seseko…

Suluhu hana suluhu na wazembe

Na Daniel Mbega LEO naanza kwa kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuongeza mwaka mwingine katika maisha yangu.…

Ofisa Mkuu wa Uendeshaji wa CPS, Katrin Dietzold (wapili kulia) akizungumza mwishoni mwa wiki kwenye kongamano…

Maendeleo ya Jamii yataja vipaumbele vyake 6

Na Sarah Moses, Dodoma. KATIKA mwaka wa fedha 2024/25 Wizara ya Maendeleo ya Jamii ,JInsia ,…

Mabadiliko sera ya Wazee ipo mbioni

Na Sarah Moses, Dodoma. WIZARA ya Maendeleo ya Jamii,Jinsia ,Wanawake na Makundi maalum ipo katika hatua…

RC Serukamba azionya taasisi zisizotumia mfumo wa NeST

MKUU wa Mkoa wa Iringa, Peter Serukamba ametoa onyo kwa watendaji wa taasisi nunuzi wanaotumia visingizio…

DCEA yakamata kilogram 156.23 za bangi ,yateketeza ekari 9.5 za mashamba ya bangi

Na Sarah Moses, Dodoma. MAMLAKA  ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya Kanda ya kati…

Wizara ya Kilimo kutoa mikopo ya bilioni 10 kwa Vijana na Wanawake.

Sarah Moses, Dodoma. WIZARA ya Kilimo imepanga kutoa mikopo kwa vijana na wanawake kiasi cha Shilingi…

Serikali kuimarisha matumizi ya nishati safi ya kupikia

📌 Majiko banifu kusambazwa Kaya za Vijiji na Vijiji-Miji 📌 Wazalishaji wa mkaa mbadala kupewa ruzuku…

Mtoto atolewa sarafu iliyokaa kooni kwa siku sita.

WATAALAMU katika Idara ya ENT ya Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH) wamefanikiwa kuitoa sarafu iliyokuwa imekwama…

Taifa Stars yaitandika Mongolia 3-0 FIFA Series 2024

Na Badrudin Yahaya TIMU ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’, imeibuka na ushindi wa mabao 3-0…

TBPL yasaini mkataba usambazaji wa viuatilifu hai vitakavyolinda mazao, afya za binadamu

Na Zahoro Mlanzi, Pwani KIWANDA cha Kibaiolojia cha Tanzania Biotech Product limited (TBPL) cha mkoani hapa,…

Tume yatangaza uchaguzi mdogo Kata 23 za Tanzania Bara

TUME ya Taifa ya Uchaguzi imetangaza uchaguzi mdogo wa Madiwani kwenye kata 23 za Tanzania Bara.…