Pochettino: Chelsea, Lukaku wafikia pazuri

LONDON, England KOCHA Mauricio Pochettino, amedai Chelsea na Romelu Lukaku, wameshakubaliana kutokuwepo kwa straika huyo katika…

Arteta afunguka kumsajili Rice

LONDON, England KOCHA wa Arsenal, Mikel Arteta, amesema pauni milioni 100 za kumsajili Declan Rice zinaweza…

Aubameyang kula ‘shavu’ Marseille

MARSEILLE, Ufaransa STRAIKA Pierre-Emerick Aubameyang, imeripotiwa amekubaliana kila kitu kujiunga na miamba ya Ligue 1, Marseille.…

Michezo ya Jumuiya ya Madola 2026 yafutwa

VICTORIA, Australia MICHEZO ya Jumuiya ya Madola, imefutwa na kuwaweka njia panda mashabiki wa michezo hiyo.…

Samatta rasmi atua PAOK

Na Zahoro Mlanzi KLABU ya Fenerbahce ya nchini Uturuki, imethibitisha kuachana na straika wake, Mtanzania Mbwana…

Messi aahidi makubwa Inter Miami

FLORIDA, Marekani MCHEZAJI mpya, Lionel Messi, ametambulishwa rasmi mbele ya mashabiki wa timu ya Inter Miami…

Arsenal yaacha watatu ziara Marekani

LONDON, England KLABU ya Arsenal, imeenda nchini Marekani kwa ajili ya kuendelea na kambi kujiandaa na…

Man Utd, Onana ni suala la muda tu

MANCHESTER, England KLABU ya Manchester United, ipo karibu kukamilisha uhamisho wa Kipa wa Inter Milan, Andre…

Djokovic alia, asema ngumu kukubali

LONDON, England MCHEZAJI nyota katika tenisi, Novak Djokovic, amesema kupoteza fainali ya michuano ya Wimbledon mbele…

Satar-Haji ampa ushauri Rais mpya ZFF

Ibrahim Nyakunga ALIYEKUWA Mgombea wa Uraisi wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Zanzibar (ZFF), Kamal Abdul…