– Singida tuna Vituo vya Afya 22 na Zahanati 69

3. Miaka minne ya Rais Samia

80% ya wananchi wa Mkoa wa Singida tunajihusisha na

Kilimo (liwekwe jembe) ufugaji (ziwekwe kuku, ng’ombe)  na Uvuvi (iwekwe mashua)

Asante Mama

4. Asante Rais Samia

Pato la mkoa limeongezeka 

Kutoka Sh.Trilioni 2.8 (2020)

Sasa limefika Sh. Trilioni 3.0 mwaka 2021

5. Asante Mama umetutua ndoo wanawake wa Singida

Upatikanaji wa majisafi na salama (mabomba ya maji)

kutoka 65%

sasa  85%

mjini 57.9 %

Vijijini 67.7%

6. Mama Umeuwasha Singida

 Vijiji zaidi 420 kati ya 441 sawa 95.24%vina umeme

Matumizi ya umeme kimkoa yameongezeka

kutoka MW 13.92 (2020/21)

sasa MW 19.86

7. Asante Mama

Sekta ya Madini, Singida tunatamba na

vikundi 10 vya wachimbaji wadogo vimepatiwa leseni

Leseni zimetolewa kwa mtu moja moja 821

Ajira zimetolewa kwa wachimbaji 1,000

8. Mitano tena kwa Mama

Singida tunatamba na viwanda  1,805  

kutoka 1, 576 mwaka 2020/21

9. Asante Mama, J

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *